Isaya 40:25-31(31)
Tai ni ndege wa tofauti na ndege wengine kabisa.
SIFA ZA TAI
1. tai
anatembea na tai wenzie
na sio ndege wengine yeyote; sio mwewe wala kunguru
Ø
watu
wapenda mafanikio wanatembea na wapenda mafanikio
Ø
watakatifu
na watakatifu.
2. tai
anapaa umbari mrefu zaidi ya ndege wengine.
Ø
Mungu ni lazima atupe nguvu za
kufanikiwa zaidi ya wengine
Ø
Mafanikio kazini zaidi ya wengine
Ø
Biashara mafanikio na wateja wengi
zaidi
Ø
Tenda nyingi zaidi
Ø
Max nyingi zaidi kwa wanafunzi
3. Tai
anatazama umbari mrefu zaidi (kilometa 5 mbere)
na akikiona
kitoweo au kitu hukivuta na kuonekana karibu na kukifata mpaka akipate, hata
kama vikitokea vizuizi huwa hajari na hupambana mpaka akipate.
Ø
Hata majaribu yajapo 2014
hatutojari bali tunatazama ahadi za Jehova mpaka tutakapozifikia
Ø
Hata kama wakitokea watu kupinga,
kazi au mume lakini tunatazama ahadi za Bwana mpaka tuzipate
Ø
Majaribu yajapo tunafumba macho na
kuzivuta ahadi za Bwana na kuzitazama hizo tu.
Ø
Lolote na hilo (piga uwa) kupaa
kama tai lazima.
4.
Tai hali mizoga bali anakula
chakula halisi (kipaya/flesh)
Ø
Tunatafuta taarifa mpya na sio za
zamani.
Ø
Hatutotumia vitu vya kale; kuazima
au kupewa bali 2014 ni mwaka mpya na mafanikio mapya.
Ø
Sisi sio watu wa kazi za kale
Ø
Sisi sio watu wa asiri tena;
ugonjwa na mikosi ya babu ni ya babu sisi tunaanza upya.
5.
Tai anatumia kimbunga au upepo
mkali kupumzisha mbawa na kupaa juu zaidi.(upepo mkali unaoambatana na radi,
mvua, na ngulumo kali).
Wakati ndege wengine wanajificha kwenye miti na
vichaka kuogopa
Ø
Wakati wengine wanalalamika
matatizo na shida wewe unatumia majaribu na shida hizo kupaa zaidi angani.
Ø
Tumngojeao Bwana tunatumia dhiki,
uchi na adha kupaa juu zaidi kimafanikio.
6.
Tai wanapotaka kukutana (kujenga
ndoa).
·
Mwanaume humfata mwanamke juu,
mwanamke agunduapo hushuka chini na kuchukua gome au ganda la mti na kupaa nalo
juu.
·
Akifika juu analiachia lianguke
chini; mwanaume analiata kwa kasi, na jinsi linavyoongeza kasi naye anaongeza
kasi; akilipata anarudi nalo juu na kumpa mwanamke.
·
Mwanamke anapaa tena juu zaidi na
kuliachia tena; na mwanaume kulifata kama mwanzo na kulirudisha kwa mwanamke
·
Na mwanamke hupaa tena juu
·
Kitendo hiko hufanyika zaidi ya saa
moja
·
Mpaka pale mwanamke atakapoona
umbari wa kwenda juu unatosha na baada ya kuona mwanaume amefauru mchezo ndipo
anakubari.
Ø
Kabla mtu hujakubari urafiki au
ukaribu naye mpime kwanza
Ø
Sisi ni wa thamani (tumngojeao
Bwana)
Ø
Sisi sio watu wa kawaida
Ø
Sio watu wa chipsi na keki au soda
Ø
Hatupatikani kirahisi
Ø
Ni bidhaa hadimu
Ø
Thamani yetu ni kubwa makazini;
wanatuhitaji na wakibaki wao tu mambo yote yanaharibika.
Ø
Dunia yatuhitaji; ndio maana
tukiondoka tu na dunia ndio mwisho wa mchezo wake.
Ø
2014 ni kutafutwa kama lulu
7.
Wanashirikiana kwenye uzazi
·
Tai jike anapotaka kuzaa; jike na
dume wanashirikiana kutafuta eneo la juu la ncha ya mlima ambapo mnyama na adui
hawezi kufika.
·
Mwanaume anaenda kutafuta miba na
kuweka sehemu hiyo na kushuka tena chini kuleta magome ya mti kujenga kiota juu
ya ile miba
·
Na kushuka tena chini na kuchukua
miba na kuweka juu ya yale magome; anashuka tena na kuchukua nyasi na kufunika
ile miba
·
Kisha anashuka tena na kuchukua
ngozi kufunika zile nyasi
·
Baada ya kumaliza kujenga kibanda
anarudi tena chini kuchukua miba mingi zaidi na kufunika kile kiota; kuzuia
maadui.
Ø
Mwanaume na wanawake lazima
tushirikiane katika kujenga familia; familia tujenge pamoja.
Ø
Kanisa lazima tubebane: muujiza wa
mtu upo mikononi mwetu
Ø
Nyumba zetu, familia zetu, maisha
yetu ni lazima yalindwe na Damu ya Yesu.
Ø
Wako makini kufanya mambo yao nasi
lazima tufanye mambo kwa umakini.
Ø
Baba anafanya jukumu kama kichwa na
mama anakaa pembeni na kutia moyo
8.
Wakati wa kufundisha watoto.
·
Mama yao anawatoa kwenye kiota
sababu ya uwoga wanarudi tena
·
Hivyo mama yao anatoa ngozi na
kubakiza miba- hivyo wanaporudi tena ndani wanakutana na miba wanachomwa na
kutokwa na damu
·
Wanashangaa baba na mama yao
aliyewapenda sana leo amewageuka na kuwaumiza.
·
Na baadae mama yao anawasukuma
pembeni ya ncha ya mlima na kuanza kuruka kwa hofu.
·
Kabla hawajaanguka chini baba yao
anatokea na kuwabeba wasianguke na kuwarudisha mlimani
·
Kitendo hiko kinaendelea mpaka
wahakikishe wote wanajua kuruka sawa sawa.
Ø
Wanapopatwa na mshangao wa mateso
hayo- hapo hapo wanapata maarifa na mbinu mpya za kimaisha na kuishi
Ø
Mungu anakuwekea miba (shida, dhika,
uchi na adha na mateso na majaribu) kwa mema; ili upate mafunzo na kukufanya
uwe bora zaidi ya sasa.
Ø
Wakati mwingine anafanya kama
amekuacha kumbe yupo pembeni akikutazama na kabla hujaanguka anakuja kukubeba
Ø
Tumngojao Bwana mwaka huu ni lazima
tubebwe na Jehova katika Jina la YESU.
Ø
Na atakujaribu kwa kila hatua mpaka
ufuzu mafunzo yote na kuitwa mkakamavu: ukifuzu level moja anakupeleka level
nyingine mpaka uwe umekomaa ndipo anakuacha.
Ø
Tunapaswa kujifunza kutoka kwenye
matatizo na sio kuraumu
Ø
Kawaida watu wanaopata mateso,
magumu na matatizo magumu na mengi ndio ambao wanatoka na maarifa, hekima na
uzoefu zaidi. MFANO DAUDI NA SULEMANI
9.
Tai anaishi miaka mingi zaidi
·
Anaishi miaka 70
·
Lakini kufika miaka hii, anapaswa
kufanya uamuzi mgumu katika maisha yake.
·
Akifika miaka 40;
o
Mdomo wake unachoka/unazeeka na
kushindwa tena kuchukua mawindo(ukari na uregu wa mdomo unapinda)
o
Kutokana na uzee na uzito wa
mabawa, manyoya yanarundikana kifuani na kumfanya kushindwa kuruka.
·
Anabakiwa na maamuzi mawili tu
o
Kufa
o
Au kupitia mateso na maumivu ya
siku 150 (miezi 5)
·
Kitendo hiko kitamtaka tai apande
juu ya ncha ya mlima kwenye kiota chake na kujipiga kwenye mawe mpaka ncha ya
mdomo wake ivunjike yote.
·
Na kukaa akisubiri mpaka ncha ya
mdomo iote yote.
·
Baada ya hapo analazimika kutoa
manyoya yake yote ya uzeeni mpka abaki pasipo hata na nyoya
·
Baada ya miezi 5 anapata manyoya
mapya na kuishi tena miaka 30.
Ø
Anaonesha kwamba wamngojeao Bwana
kumbe kumbe tuchakaapo kuna kuzaliwa upya na kufanya upya tena na kuishi miaka
mingine zaidi tukiwa na nguvu mpya.
Ø
Ni lazima tukubari kubadirika hata
kama mengine yanaumiza; kwenye ufalme wa Mungu
Ø
Kujitoa kwenye matatizo ya kale ni
lazima tukubari kupoteza faida za sasa (vya thamani vya sasa) kwaajiri ya
baadae
Ø
Tunapaswa kutoa mambo yote ambayo
hayana umuhimu kwetu kwa sasa ili kufanyika upya; kwaajiri ya kesho yetu
Ø
Lazima tukubari mateso, majaribu na
shida kwaajiri ya baadae
Ø
Wakati fulani twapaswa kutoa
tamaduni zetu, tabia, na mazoea fulani ili kuweka tabia na ufahamu mpya
Ø
2014 Bwana anakwenda kurenew maisha
yetu na kutupa mapya yenye raha zaidi.
Ø
Maombolezo 3:22
Ø
Ayubu 17:9
THANKS ALMIGHTY GOD, Please my Dear God go and teach your
people yourself; but I give all my body to use me as a tools, For Your Glory.
In Jesus Name... Amen
No comments:
Post a Comment