Monday, December 21, 2015



SEMINA DEC 2015 -DAY 1

FUMBO LA MAISHA NA KUFIKIA HATIMA NJEMA

Yer 29:11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani, wala si mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho"

Bwana anakuwazia mema, mawazo ya amani, kukupa tumaini siku yako ya mwisho: swali wewe je?

Maisha yana mwanzo, kati na mwisho. Wote hapa bado hatujafika mwisho, kuna wengine wapo katikati, na wengine wanakaribia mwisho.

Lakini lipo tumaini: hata kama unakaribia mwisho au upo katikati unaweza kuyafanya maisha yako yaanze mwanzo.

Yesu alikuja ili mwanadamu apate fulsa ya kuanza tena mwanzo maisha. Hata kama alichezea kete anaweza kuanza tena mchezo na akashinda.

Ibrahimu alikuwa mwisho, Mungu anakamuita na miaka 70 na kuanza na mwanzo. Musa anaitwa akiwa anafikiri yupo katikati ya maisha, Mungu anamuita kuanza mwanzo mpya wa maisha yake. Petro vivyo hivyo na Paulo anaitwa akiwa katikati ya maisha, anaitwa na kuanza tena mwanzo.

Somo hili ni la muhimu sana kwenye maisha yako, muhimu sana. Maana Roho anakwenda kutufundisha namna ya kuutumia mwanzo wa maisha yetu kutengeneza katikati na namna ya kutumia katikati ya maisha yetu ili kujenga mwisho mzuri ambao Bwana Mungu ametuandalia.

Mungu alipokupa nguvu ya maamuzi; basi alikupa nguvu ya kuamua hatima ya maisha yako. Mungu anapanga mwisho wako, ila kuufikia au kutoufikia hayo ni maamuzi yako. Mfano Sauli Mfalme na Sulemani na Joashi.

Mungu kukuwazia mwisho mzuri haina maana kwamba Mungu anashuka na kuja kuishi kwa niaba yako. Yeye anakupa marighafi na vitendea kazi na kuwa na wewe na kukusaidia.

Na utakapojitoa na kusimama ndani ya mstari wa kufikia mwisho aliokuandalia basi atahakikisha unaufikia, lakini utakapotoka nje ya mstari basi anakuacha na kumfikiria mtoto wako au mtu mwingine kuufikia mwisho huo. Na atajitahidi kukurudisha siku zote hatochoka, mpaka siku zako za kuishi zitakapoisha. Sababu yeye ni wa rehema huwarudi wale wamrudiao, hupenda watu wamrudie.

MWANZO.
Tuanze sasa...
• Maisha yamejawa na matukio tusiyo yatarajia. Kila siku yanatokea yale ambayo hatukuyapanga wala kutarajia yatokee.
• Maisha yamejawa na hasa huendeshwa na matokeo tusiyoyatarajia. Tunapofanya vitu na kupanga mipango huwa tunataajia mema na kujikuta tunapata tofauti.

• Maisha yamejawa na matukio ya kushangaza sana.
   Watu wanakuwa tofauti na walivyotajia au kutarajiwa kuwa:
   Waliopanga kuwa madaktari wanaishia kuwa wachungaji, waliopanga kuwa maaskofu wanaishia kuwa wachungaji au mashemasi, waliopanga kuwa wanasiasa au wafanyabiashara wanaishia kuwa wafanyakazi wa kawaida, bodaboda, wakulima au walimu, na wengine kuwa walevi wa pombe, sigara au bangi na madawa ya kulevya.
   Mwanafunzi anapanga kufika chuo kikuu na mzazi anajitahidi ili kutimiza ndoto za mwanae, matokeo yake anaishia kukuletea mtoto nyumbani au kushindwa mtihani na kuishia kidato cha nne au cha tano.
   Wazazi wanashangaa wale watoto waliowapenda sana na kutarajia kuwa ndiyo watawasaidia na kuwaona kuwa ndiyo watoto wema ndiyo wanakuja kuwa hawafai na wale waliokuwa hawafai ndiyo baadae wanakuja kuwa wamaana.
     Pastors and bishop become prisoners, politician come from high ranks to prison, beautiful girls become prostitute, those we call bad girl, poor, ignorant, they become our boss, ministers, chief secretary and C. E. O.
     Those we love in public, we hate after we see them in private.

MYSTERY OF LIFE
• Life become mystery when we wonder Why we still doing what we hate (we do, what we don't wanna to do), and what we desire to do, we don't do.
"What you desire to do you're not doing and many-times you're even not able to carry them out, and what you hate you don't have the ability to stop yourself from doing.

"In fact every one has its fault that neither fear nor law can stop from doing"

• Life become mystery when we try harder and more harder to stop ourself from doing some action, and we fail. We try to stop some attitude and behavior and we fail.
Sometime we cry, explain to people, pray and asking God mercy and grace and we wonder why we still do what we pray and ask to stop.

• We know something is evil, and we try to stop our mind and our body to execute them, A force come from our heart, a force that we don't know  even its name that our body and our mind succumb to do what we truly hate to do.
  And what we know is right and is what God want us to do, we force our mind and body to do, we wonder we are not.
  Eg. I desire to wake up early in the morning to pray I don't, I plan to pray in mid night I fail, I desire to fast and pray but I don't, I desire to be more powerful and spiritual in the kingdom of God, but I'm not. We desire to have good relationship with God and doing what he want, but we wonder we don't, everyday instead of saying yes I win, we ask for mercy.

• And the mystery of all, Many of us we are not what we desire and wish to become when we're youth.

• This is mystery to more than 90% of the world population: Many folks they don't even know themselves.
  We pretend to, but we don't.

* We try to know God but not ourselves,
   Whilst is difficult to know God if you don't know yourself      what Make me wonder is that, Even God, has a desire to see all of us, to know ourselves. That why, He never call somebody without tell him who he is. Before telling Abraham Go! He first tell him, I call you be father of the nations, Before telling Moses Go! He first tell him, Saviour of His people, Before tell Jeremiah, he first tell him why he make his birth.
# In fact, Your purpose is what carry your real identity"

"You wander and wander doing everything because you don't know yourself"

* when you know yourself, will make you to know that you cant live without God, and God Joy is your Joy and strength.
* Many folks die, only they know they're names but not themselves.
* And some they don't even bothering, that they do not know they are. Only they care, is to make living.
* Some people they try harder and harder to know who they are, finding they're purpose. But they become old and die, without achieving they're desire, Why? They finding from wrong source. God is only source, because is one who created you. (Recommend Book : Purpose Driven Life By Rick Warren and The Power of Purpose By Dr Myles Munroe)
* Many Elites, They only know they're positions and they're bosses and not them self. That why most of them they die with stress and Blood Pressure.

• Life has no experts: We're all facing challenges, problem, thing we cant handle, unexpected and unplanned events, and unexpected results. But Those Who have Faith in God are always safe.

• Everyone need better life, better world, better marriage and better family. And this make human an Utopia

• we all want more and plenty money, while some they lie, pretending that they don't need money, they lie, they need more, and they want more than you.

"Money is not everything, but is important to everything" Robert Kiyosaki

But seek ye first the Kingdom of God and His Righteousness and Other Thing (including money) shall be added to you"

• We live life but we don't know the meaning of it
This is what I know "we can have many definitions about life, but experience will tell you the truth" #Ev.Ulenje

Kesho tunaendelea
Umbali si shida waweza kuwa karibu nasi.
Ubarikiwe Sana kwa kusoma.
Naamini kuna kitu umepata, pita soma tena na tena.

+255 718 721 848
imaf2b@gmail.com

1 comment: